Home
Unlabelled
Traffic akikomaa na dereva asimame asubuhi hii Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Well equipped techniques!
ReplyDeleteJamani mioyoni mwetu bado tunaugulia na kusikitika kifo cha mwanamke mwenzetu traffick aliekufa akiwa kazini kwa kugongwa na gari....ambapo nia imani kila kitu kinapotokea tunapata fundisho au mafundisho. Kweli huyu traffic alieamua kupanda hii gari anataka nini kifo au ulemavu ni nini hasa. Mbona askari wetu wa barabarani wanakosa hekima jamani wanafanya kazi kama mashine iliyosetiwa. Je zana alizoshika mkononi ni kwa ajili gani urembo au hajui matumizi yake. Kwa nini hachukui maamuzi ya kuandika number ya gari au awe na radio call awasiliane na mwenzie gari wakitaka kulikamata askari hawashindwi.Sasa hapo anaonekana kakosa hekima na wanasahau makosa ya barabarani kulipa fine ni kwa sana tuu. Kweli anahatarisha uzima wake kwa maamuzi ya kibabe. Hebu jeshi la police liamue kufanya some trainings to build capacity za watendaji wake wa barabarani. Yote haya yanawakuta kwa sababu ya maamuzi yao ya ubabe kukaa mbele ya gari na kama ivi kupanda gari. Je driver akiamua kureverse then akamdondosha akamkanyaga itakuwaje.
ReplyDeleteTamaa ya pesa tu hio....
ReplyDeletehana lolote huyo trafic anatafuta umaarufu tu!
ReplyDeletewe muache ajui sisi kama hatuna mda wakulia tena!
ReplyDeleteMungu anasema "Tazama watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
ReplyDeleteNdugu zangu Wazalendo, hii ni hatari kwa maisha ya huyu mtumishi wa serikali. Kalamu yake ni kuandika namba za madreva wasiojua kutii bila shuruti. Wajeuri wapo, lakini mchukulie kwa ustaarabu hata kama dreva sio msitaarabu. Andika namba kisha rusha hewani, atasimamishwa mbele ya safari au siku nyingine tuu.
ReplyDeletenapenda mentality za askari wetu pamoja na wanajeshi wetu. woote wanaamini kuwa wanaogopwa na kuhushimiwa saaaana wanapokuwa na magwanda yao kiasi kuwa wanahatarisha maisha yao kiasi hiki.
ReplyDeleteHuyo trafu iki kafanya hayo kwa sababu tu anaamini akimshika huyo dereva atamshitaki zaidi kwa kutoheshimu vazi la polisi amesahau kabisa kuwa kwa kujiweka mbele hapo amehatarisha maisha uka yake. Amesahau kabisa kama nchi hii imejaa vichaa wa kila aina.
Yaani hata wiki haijaisha tangu yule traffic apoteze uhai akiwa kazini, huyu naye anakuja na staili hii? Kweli sikio la kufa halisikii dawa.
ReplyDeleteMama mbavu zangu.... eeeeh! Natamani ningekuwepo live nione mkanda mpaka mwisho. Mdau ilikuwaje hatima ya mambo?
ReplyDeleteKwanza inatakiwa ashtakiwe anahatarisha usalama wa dereva, watumiaji wengine wa barabara na wake pia.
ReplyDeleteNjaa tu zinawasumbuia..hapa anatafuta mshiko tu hakuna cha utii wa sheria wala nini...hebu cheki alivyochoka
ReplyDeleteNakufa kwa kicheko jamani. Kweli wonders shall never cease.
ReplyDeleteHe is doing his job at whatever expense Ajalini kazini ipo.
ReplyDeleteHuyo trafik hana lolote ameomba lift kiaina,na akiendelea mauti yanamngoja!
ReplyDeleteNa technologia yote bado askari anakimbizana na gari? Redio wanazo, simu wanazo, kamera wanazo, etc. Huu ni umasikini wa kufikiria au ni u-bishoo?
ReplyDeletedaah, halafu hapo ukute dereva alitaka kupaki vizuri jamaa akaamua kudanda kabisa. agongwe afu aseme mtu alikataa kutii amri!!
ReplyDeleteOnly Bongo has this upuuzi. Akili maji kabisa.
ReplyDeleteUSHAHIDI NDIO HUO WA MAREHEM ALIE KUFA SIO KOSA LAO ASKARI BALI WANAPO PANGIWA SEHEMU NA WA KUU WAO HIZO SEHEMU ZINA ELEWEKA KIPATO CHAKE KWA SIKU HIVYO LAZIMA KWA SIKU AMPELEKEE AFANDE KIASI FULANI BILA YA HIVYO HATO PANGIWA KAZI NA KUHATARISHA ATOLEWE UTRAFIC RUSHWA TUPU INA NUKA UTAKUTA HATA AKIWA OFF JUMAPILI HAYUPO KAZINI ANA VAA GWANDA NA KUMUAMBIA MKEWE WEKA CHUNGU CHA UGALI JIKONI AKI RUDI UTAMUONA NA MBOGA
ReplyDeleteKheeee kila mtu ale ofisini kwake isiwe tabu.
ReplyDeleteGood job officer.
Mmh!Hiki kioja kimekaa dezaini ya 'Mazishi saa nane'
ReplyDelete