Baadhi ya Magreda yaliopo kwenye eneo lililotokea janga la kuporomoka kwa jengo lenye urefu wa ghorofa 16,mtaa wa Indra ghand katikati ya jiji la Dar es Salaam,yakiendelea na kazi ya kuondoa kifusi cha jengo hilo ili kuweza kutoa miili ya watu waliopo chini ya kifusi hicho.ambapo usiku huu wameweza kutoa miili ya watu wanne na kufanya idadi kuwa ni watu ishirini na nne (24),kwani mpaka mchana wa leo walikuwa wameweza kutoa miili ishirini (20).zoezi la kutafuta miili mingine bado linaendelea hivi sasa.
 Baadhi askari wa Kikosi cha Zima moto kutoka Kampuni ya Ulinzi ya Night Support wakimwagia maji kifusi hilo ili kilainike na kufanya uraisi kwa Magreda kuweza kutoa udongo.
 Baadhi ya Mafundi wakiendelea na kazi ya kukata nondo zilizokuwepo kwenye jengo hilo ili kuwezesha urahisi wa kubeba.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. samahani brother michuzi lakini kwa taarifa ulizoweka hapa naomba utujibu hili jengo la ghorofa ngapi? na kama ulivyosema ni sawa limejengwa kwa udongo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...