Bwana George Hellar (wa pili kulia) akipongezwa na Meneja Uendeshaji wa DStv Tanzania,Baraka Shelukindo (kushoto) kwa kushinda malipo ya mwezi ya mwaka mzima kwenye shindano la DStv Rewards. Wiki hii wateja wa DStv watapata fursa ya kushinda kitita cha Tshs 10,000,000 katika droo itakayochezeshwa Alhamisi. DStv wamekua wakitoa Tshs 5,000,000 kwa wateja wao waliokuwa wakilipia akaunti zao za DStv kabla ya kumalizika muda wake.Wengine pichani ni Meneja Masoko wa DStv Tanzania,Furaha Samalu (kulia) na Meneja Uhusiano wa DStv Tanzania, Barbara Kambogi.
Home
Unlabelled
Wateja wa DStv wazidi kujinyakulia Mamilioni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...