Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,Sunil Colaso akiongea na meneja wa Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na Usambazaji wa Airtel Tanzania,Godfrey Mugambi akimsajili mtenja mpya wa Airtel,Mzee Jumanne Ally mkazi wa Namanga Msasani wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo ya Airtel Yatosha.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya akimpa maelekezo ya huduma ya Airtel Yatosha mmoja wa wateja wa Airtel alietambulika kwa jina la Juliana wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Mkurugenzi wa kitengo cha Mauzo Mustapha Kapasi( kushoto) pamoja na Gaspa Mroso waakiongea na wateja wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha.
Afisa Mauzo wa Airtel bi Theresia Kimaro Akiongea na wateja juu ya huduma ya Airtel yatosha wakati Airtel walioko Magomeni na kutoa elimu juu ya huduma mbalimbali ikiwemo ya Airtle yatosha.
Meneja wa kitengo cha network, Emmanuel Luanda akisajili wateja kwenye huduma ya Airtel Yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha mwishoni mwa wiki hii.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso Akibandika moja ya kipeperushi cha Airtel yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...