Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. baraka ya gwaride toka miaka 49 faida gani tumenufaika na muungano huu tanganyika ipo wapi? tunataka tanganyika yetu na sisi

    ReplyDelete
  2. Mdau wa Kwanza,

    Tanganyika ipo wapi?

    1.Tulikwisha uza Almasi za Bara kwa Miaka 49 huku tukichangia na Mauzo ya Karafuu za Visiwani kuendesha mambo kama ndugu.

    2.Tumesah zaliana sana tu, sasa leo tutasimamia wapi endapo mtu anakwenda Visiwani kwa Pasipoti na Viza na mtu anakuja Bara vivyo hivyo kwa Pasipoti na Viza?

    3.Hakuna Ndoa ya lelemama, kama tunapishana tutakaa tutajadili na kupata muelekeo, suluhisho la Ndoa kutetereka sio Kutolewa kwa Talaka.

    Tukumbuke Talaka ikitoka malezi ya watoto na vijukuu yatakuwa tete kwa mazingira hayo hapo juu ya kusafiri kwa Visa na Paipoti itu ambacho hakikuwepo kabla.

    Upo hapo?

    ReplyDelete
  3. Mdau wa Kwanza,

    Hebu tueleze kwa Kifupi ukipewa hiyo Tanganyika utanufaika na lipi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...