Home
Unlabelled
KIJIWE CHA UGHAIBUNI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
sasa hizo sotry zinatuelimisha nini.mmmmh kazi kweli kweli hivi fikra hazibadiriki hawa wamemaliza hata darasa la nne kweli? dah
ReplyDeleteHivi na marekani kuna ulanzi? kuna vijiwe pale dar watu wanakaa wanabishana hata sioni tofauti kabisa.
ReplyDeleteYa leo kali, mbona hamkutuambia kama mada nini ipi, eh jabir jongo ndio unaanzaga na mada ya leo! Hivyo leo mliamua kukaa kijiweni hasa cha ughaibuni! Na huyo anayevuta sigara mh!? Au ndio mambo ya spring outside ze mjengo. Jabiri Jongo leo umenichekesha saana eti ukiwa mbunge utazungushia senyenge eneo lako lote kuingia kwa kitambulisho na ukifika bungeni unakunywa vidonge vya usingizi unalala! Nadhani hapo umefumbia wabunge wanaolala bungeni tena wako wengi sana Tz, embu wajirekebishe kama wamekusikia! Na kuhusu maconntainer yanayoleta wadudu, kweli nchi za dunia ya tatu kama Tz ni dumping site mana ni kupokea takataka tu. Hivi Tz tutaendelea siku moja au ni ndoto za Alinacha?
ReplyDeletesasa nyie watu mnaongea au mnangombana maana mnaongea kwa sauti kubwa kama nini ? sioni hapo kuna maada yoyote ? je mnawaelemisha nini watu au ndio kuonesha watu kuwa mpo nje ya tanzania. samahani naomba muongea mashuala ya muhimu ya kuleta maendeleo sio umbeya..lol
ReplyDelete