MIKAH GODWIN KOBOLE (1970 - 2012)

Leo tarehe 30/04/2013 - Ni mwaka mmoja tangu Ndugu yetu mpendwa ulipotangulia mbele ya haki katika Hospitali ya Hindu Mandal - DSM. Mnamo saa 4 za asubuhi.

Hakika tulikupenda sana kwa uwazi, ushirikiano na ukweli wako kwetu sote. Tulikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi. Tutaendelea kukuenzi kwa kukumbuka mawaidha yako mazuri sana kwetu.

Unakumbukwa sana na Mama yako (Agnes Mgaya) ,Mkeo (Hawa) ,Wanao (Agnes na Patrick), Dada zako (Martha, Jane na Gloria), Baba zako wadogo, Shangazi zako bila kusahau wafanyakazi wenzako, marafiki na majirani wote.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Jina la Bwana lihimidiwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamani Gloria sikupata taarifa ya kifo cha kaka yenu. Poleni sana.

    Joyce.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...