Mpiganaji Joseph Msami,  ambaye ni mwandishi wa Habari wa Idhaa ya Kiswahili ya  Radio ya Umoja wa Mataifa, akimfanyia  mahojiao,  Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa   Tanzania Katika Umoja wa Mataifa,  Balozi Ramadhan Mwinyi, wakati Watanzania waishio jijini New York na Vitongoji vyake walipokutanika siku ya jumamosi  kusherehekea miaka 47 ya Muungano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...