Mdau Ruger Kahwa ambaye ni mtaalam mkongwe wa masuala ya kukabiliana na majanga na mkuu wa ofisi ya umoja wa mataifa inayoshughulika na uratibu wa majanga na maafa ( United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs) nchini Papua New Guinea wa kwanza kulia akiweka shada la maua kwenye eneo ambalo Meli iliyozama na kuuwa watu 300 nchini Papua new Guinea ilipoanzia safari mwaka 2012. Hii ilikuwa wakati wa kuwakumbuka wahanga wa ajali hiyo katika jimbo la West New Britain.
Home
Unlabelled
Mtaalam wa masuala ya majanga,Mdau Ruger Kahwa akiwajibika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...