Ni mwaka 2008 na Maquis du zaire wakiwa na Vumbi Dekula Kahanga wanakupa 'Kiongo'. Asante Pablo Machine kwa wimbo huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mmh Angalia vizuri kumbukumbu za 2008 Marquiz du zaire ilikuwa haipo!! Ila kibao kilikuwa moto wa kuotea mbali.

    ReplyDelete
  2. Wimbo unatukumbusha wengi Dar ilipokuwa kisima cha burudani starehe huku na kule ,naona marehemu Kasolo(RIP),katika midomo ya bata mkongwe Mafumu Bilal wa Bobenga,Kanku Kelly na Makuna wa makuna,Vumbi na mtutu wake,atalaku Mudjanga Mwema aka mzee Chekecha, wapi ? Nkulu wa Bangoi bandoki moto.
    wadau FFU ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...