Wakazi wa Mji wa Shinyanga Mjini,wakiwa wamebebelea Vikombe vya Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kule nchini Ghana hivi karibuni.Safari Lager ipo katika ziara ya kuutembeza ushindi huo mikoani kwa wanywaji wa Bia hiyo,ambapo leo hii wapo Mkoani Shinyanga wakisherehekea ushindi huo na wakazi wa Mkoa huo.
Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Shinganya Mjini wakiwa wamekusanyika kwenye Stendi Kuu wa Mabasi yaendayo Mikoani kushuhudia Burudani iliyokuwa ikitolewa na Kundi la Muziki wa Dansi la Safari Lager ambalo lipo katika ziara hiyo ya kutembeza Vikombe vya ushindi wa Bia yao ya Safari Lager.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...