Dr Anzibert Rugakingira (mwanafunzi wa udaktari KCMC) akiwahutumia wananchi wa usharika Mamba Kotera katika kuadhimisha siku ya AFYA DUNIANI.
Dr. Diana akipima shinikizo la damu kwa mmoja kati wananchi waliofika katika zoezi la Upimaji wa presha na viashilia hatari vya magonjwa ya moyo.
Dr. Sabina mtweve wa Idara wa Tiba ya Jamii akitoa ushauri kwa mmoja kati ya wananchi waliofika katika zoezi la Upimaji wa presha na utoaji wa huduma ya kupima presa na viashilia hatari vya magonjwa ya moyo.

Dr Mbishi Matumbo akimpima mmoja wa wananchi waliojitokeza kupima presha yake.

Dr Sabina mtweve wa Community Medicine akiongoza jopo la wanafunzi madaktari wa KCMC waliofika katika kuazimisha siku ya afya duniani ambapo walifanya zoezi la Upimaji wa presha na viashilia hatari vya magonjwa ya moyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nice work from our junior medical student's... Tanzania first!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...