Mshindi ni simba, mara ya mwisho alimfunga Yanga 5-0. Kwa kuwa mechi iliyofuatia baada ya ile ilikuwa 1-1, kwa matokeo ya Jumamosi matokeo ya jumla (aggregates) itakuwa 3-0. kama hujui mahesabu mjomba, pole

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2013

    Eeeh umeona ee?huitaji kwenda twisheni hesabu hizo!! Ila jamaa zangu wabishi hao na hilo watalibishia!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2013

    akili zako kama za mtoto wa kike vile. Na sijuwi kama mathematics ulisomea wap ww. Ya msimu uliyopita yamepita huu ni msimu mwingine kenge ww

    ReplyDelete
    Replies
    1. mtoto wa kike mwenye akiliMay 21, 2013

      Wewe.
      Tafadhali sana usiharibu hali ya hewa hapa! Badilisha kauli yako,eti akili kama za mtoto wa kike! Kama una ndugu wa kike wenye akili ndogo ni usijumlishe wote pamoja. Tafadhali sana sana

      Delete
  3. AnonymousMay 21, 2013

    Huyo Mushumbusi mbona jina la ki Yanga Yanga tu.Maana hawa ndugu zangu robo tatu Yanga tupu, kwao Yanga kama dini.

    Hata uwaambie mahesabu gani unapoteza muda.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 21, 2013

    Pole sana Mtani! Labda kwa hesabu hizo utapata uzingizi leo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 21, 2013

    ndugu yangu uliyeleta hii mada. Kama umemaua kurudi katika historia basi rudi kwa busara. Utagundua kwamba Yanga imeshampiga Simba mara nyingi na kwa aggregate Simba iko nyuma ya Yanga sana. Sasa amua kwenda mbele na ukiamua kurudi, basi usirudi hatua moja, rudi kikwelikweli utaona usivyojua hesabu

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 21, 2013

    Mfa majji heshi kutapatapa kwa hesabu zako KOMBE limeenda wapi? Au wewe ndo unaakili kuliko hao walotwaa kombe kwa mabingwa YANGA acha hizo bana

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 21, 2013

    Kweli washabiki wa simba ni wabishi, kama punda.

    ReplyDelete
  8. waliokimbia mambo ya Matrix, QM, hawawezi kamwe kukuelewa Mdau!

    ReplyDelete
  9. mtoto wa kikeMay 21, 2013

    mchangiaji namba 2 shika adabu yako! kama huna ulimi usilazimishe kuongea, akili ya mtoto wa kike unaijua? haina tofauti na ya mama zako, dada zako shangazi zako..., mpira wa simba na yanga unahusiana vipi na mtoto wa kike?

    ReplyDelete
  10. Kichwabuta Mwendantwala, OSLOMay 21, 2013

    Ukitaka kujua mshindi ni yule aliyewahi kutwaa hilo kombe mara 23 dhidi ya yule aliyelitwaa mara 19 ! Hayo ni maneno ya MKOSAJI ! Lakini hata hivyo hatuwakatazi WANA MSIMBAZI kujiriwaza kwa njia wanaoijua wao kwa manufaa yao BINAFSI !
    YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ! SIMBA mdebwedooooooooooooooooo !

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 21, 2013

    Mtoto wa kike mwenye akili kama Dr. Asha Migiro

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 21, 2013

    Wewe mchangiaji wa pili waheshimu bibi, mama , shangazi dada, na mkeo. Akili zao kama za mtoto wa kike Mamaako aliyekuzaa angekuwa na akili kidogo leo ungeweza kuchangia hapa? mbona ungefia tumboni, au ungekufa underfive? Respect women Please as we are all Human being.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 21, 2013

    Mshindi Simba kwani bado tunadai 5 - 0 zetu. Kombe sio shida tunalichukua mwaka huu usijali sana kwani huwa tunapokezanaga. Lakini refa tumempiga, alileta uyanga wake tehetehetehetehe...............

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 21, 2013

    Hahahah yeboyebo wengi wamekimbia umande! Sasa ngoja niwafundishe hesabu.Tuliwachapa vitano! Mmechomoa viwili, deni linabaki vitatu!! Mnavyo hivyo bado vinaning'inia sijui mtavilipa lini!!!!

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 21, 2013

    ni vizuri kujiliwaza, ila manyoya yanaonekana, atakuwa kaliwa hata kama aliwahi kung'ata.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...