Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman (katikati) akiongea na Watumishi hawapo picha Juu ya uboreshaji wa Mahakama nchini Katika suala zima la utoaji haki, kushoto kwa Jaji Mkuu ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, kulia ni Jaji Wa Mahakama Kuu, Mhe. Jaji Kaluwa.
Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, Mhe. Aron Lyamuya (kushoto) akiwa na Mahakimu Wakazi wa Mkoa wa Mbeya Katika Mkutano Kati ya Jaji Mkuu na Watumishi wa Mahakama Mbeya.
Baadhi ya Watumishi wa Mahakama ya Mbeya wakimsikiliza Mhe. Jaji Mkuu alipokuwa akiongea nao Leo. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania).


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...