Afisa mkuu wa kampuni ya Maxcom Africa Bw. Ahmed Lussasi akiongea na wandishi wa habari baada ya kushiriki sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashine za risiti za TRA. Kampuni ya Maxcom Africa ni moja ya wasambazaji wakuu wa mashine za TRA
Kamishina Mkuu wa TRA Harry Kitilya akibadilishana mawazo na afisa mkuu wa kampuni ya Maxcom Africa wakati wa sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashine za risiti za TRA. Kampuni ya Maxcom Africa ni moja ya wasambazaji wakuu wa mashine za TRA
Kamishina Mkuu wa TRA Harry Kitilya akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Maxcom Africa pamoja na wafanyakazi wa TRA
Hongera Maxcom Africa kwa kupata nafasi nyingine ya kuwahudumia watu. Nikimtazama Bw. Ahmed Lussasi naona UUNGWANA, na MALEZI bora, inawezekana macho yangu yana kiwi , lakini naamini kabisa kwa nilichoona huyu Bwana ana tabia fulani iliyojengwa na maadili mema. Hongera sana
ReplyDeleteSafi sana MAXCOM, made in Tazania! iendele, tunahitaji kutumia Makampuni yetu, sio ya wageni! Bravo!
ReplyDeletehuyo pembeni ni Nesta?
ReplyDelete