Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar, Brigedia Jenerali S S Othman, alipofika ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar, Brigedia Jenerali S S Othman, alipofika ofisini kwake Migombani.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Fatma Abdulhabib Ferej, akizungumza na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar, Brigedia Jenerali S S Othman, alipofika ofisini kwake Migombani.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...