MABINGWA WAPYA WA KANDANDA NCHINI YANGA WAMEMALIZA LIGI KUU YA VODACOM KWA KUWAPA RAHA MASHABIKI WAKE KWA KUICHAPA SIMBA BAO 2-0 KATIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR E SALAAM LEO NA MPIRA NDIO UMEMALIZIKA DAKIKA HII.
PAMOJA NA KUMCHINJA MYAMA KATIKA MECHI HIYO YA KUTIMIZA WAJIBU (YANGA WALISHATANGAZWA MABINGWA SIKU KADHAA ZILIZOPITA), YANGA PIA IMEKABIDHIWA KOMBE LAKE LA UBINGWA MBELE YA UMATI WA WATAZAMAJI 60,000 WALIOFURIKA UWANJANI HAPO.
HII NI MARA YA 24 KWA YANGA KUIFUNGA SIMBA WAKATI SIMBA IMEWAFUNGA YANG MARA 19. ILA HADI SASA SIMBA INAONGOZA KWA KUIFUNGA YANGA KWA MABAO MENGI, IKIWA NI PAMOJA NA 6-0 NA MABAO 5-0 AMBAYO BADO YANGA HAWAJAJIBU MAPIGO.
HII NI MARA YA 24 KWA YANGA KUIFUNGA SIMBA WAKATI SIMBA IMEWAFUNGA YANG MARA 19. ILA HADI SASA SIMBA INAONGOZA KWA KUIFUNGA YANGA KWA MABAO MENGI, IKIWA NI PAMOJA NA 6-0 NA MABAO 5-0 AMBAYO BADO YANGA HAWAJAJIBU MAPIGO.


picha please
ReplyDeleteCha Maana mnyaka kafungwa leo period. habari za 6-0 na 5-0 ni vitu vingi vimechangia ikiwa ni hujuma za wachezaji na viongozi
ReplyDeleteKumbe na wewe ni upande ulioondoka Kichwa chini.....Yanga Oyeeeeeeee
ReplyDeleteIYYAAAA! KISHA PAKATWA!
ReplyDeletehawata kaa waweze rudisha tano
ReplyDeleteYanga imeshawahi kuifunga Simba 5-0 Michuzi huna kumbukumbu kabisa!
ReplyDeleteYanga oyeeeeeeeeee. Vijana wanastaili.
ReplyDeleteNilisema lazima tutapawapiga kipigo cha mbwa kachoka a.k.a dogstyle chezea yanga wewe watakukandamiza mguu wa mtoto ushindwe kupata haja kubwa nenda kachezee digidigi
ReplyDelete