Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara ya Serikali NMB, Domina Feruzi cheti kama ishara ya shukrani kwa benki ya NMB kwa kuwa mdhamini mkuu wa Mkutano Mkuu wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akishuhudia kadi ya Chapchap baada ya kupata maelezo kutoka kwa Afisa wa NMB Balthazar Clemence wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Maafisa wa benki ya NMB alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni jijini Arusha
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...