Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara ya Serikali NMB, Domina Feruzi cheti kama ishara ya shukrani kwa benki ya NMB kwa kuwa mdhamini mkuu wa Mkutano Mkuu wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akishuhudia kadi ya Chapchap baada ya kupata maelezo kutoka kwa Afisa wa NMB Balthazar Clemence wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Maafisa wa benki ya NMB alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni jijini Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...