Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya  Dr. Diodorus Buberwa Kamala  (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akiongoza Ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha 97 cha Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean  na Pacific (ACP) kinachofanyika Brussels. Kikao hicho kinajadili masuala ya ushirikiano ya Nchi za ACP na kuweka mikakati ya kuanzisha Benki ya Nchi za ACP, Ushirikiano mpya wa Nchi za ACP, kuimarisha uchumi wa Nchi za ACP na kuandaa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya unaotarajiwa kufanyika Kesho Brussels.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...