Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akiongoza Ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha 97 cha Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (ACP) kinachofanyika Brussels. Kikao hicho kinajadili masuala ya ushirikiano ya Nchi za ACP na kuweka mikakati ya kuanzisha Benki ya Nchi za ACP, Ushirikiano mpya wa Nchi za ACP, kuimarisha uchumi wa Nchi za ACP na kuandaa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya unaotarajiwa kufanyika Kesho Brussels.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala Aongoza Ujumbe wa Tanzania katika Kikao cha 97 cha Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Karibiani na Pacific (ACP) - Brussels
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...