Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Utumishi wa Umma Barani Afrika Mh. Celina O. Kombani (MB), akihutubia katika sherehe za ufunguzi wa Siku ya Utumishi wa Umma barani Afrika, Accra Ghana.
Baadhi ya waalikwa kutoka nchi mbalimbali wakimsikiliza Mh. Kombani (MB) akihutubia katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Accra.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani, kushoto, pamoja na Katibu Mkuu-Utumishi Bw. George D. Yambesi wakiwa katika Banda la Tanzania pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi yake.
Mh. Kombani (MB) akitoa maelekezo kwa baadhi ya washiriki wa Tanzania, wa pili kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2013

    Safi sana wajumbe kwa uwakilishi wenu wenye tija ya kunadi utumishi bora wa umma wa nchi yetu.
    Big up HCO!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...