Mwandishi  wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa Joseph Msami akihojiana na Mama Salma Kikwete jijini New York, Marekani, baada ya mke wa rais  kupokea tuzo ya maendeleo ya milenia leo. Video ya mahojiano hayo inakujia baada ya muda si mrefu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...