Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mfalme Mswati wa Pili  wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam leo Juni 26, 2013. Mfalme Mswati wa ii, ametua nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 'Smart Patnership' unaotarajia kuanza Juni 28 mwaka huu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mfalme Mswati wa Pili , baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo Juni 26, 2013. Mfalme Mswati wa ii, ametua nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 'Smart Patnership' unaotarajia kuanza Juni 28 mwaka huu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Mfalme Mswati wa Pili, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Juni 28, 2013 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 'Smart Patnership', unaotarajia kuanza Juni 28. Kushoto ni mke wa Mfalme Mswati. Picha na OMR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2013

    Du! akienda nchi za Magharibi kule kwenye baridi ya mtu kuganda tavaaa hivia au itakuwaje! Utamaduni ni kitu muhimu sana!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2013

    Alivyovaa Mie hoi

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 26, 2013

    lowassa naye awe akivaa vazi lake la kimasai

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 26, 2013

    Too much over the top dress

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 27, 2013

    akiwa na mmoja kati ya wake zake 20

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 27, 2013

    Huyo mke wake iweje asivae kimila? Arudi haraka chumbani avae kama mume wake.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 27, 2013

    duh...jamaa anafaidi kweli huyu.Kimwana cha ukwehe.Ngoja tuone The excellence atamualika mkewe tu aje kutumbelea next tym.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...