Francis Miyeyusho (kulia) akimtupia konde Thomas Mashali wakati wa mazoezi leo.
Mashali (kushoto) akikwepa konde la Miyeyusho.
Miyeyusho akijifua kumkabili bondia Shadrack Machanje kutoka Kenya.
Mashali akipasha tayari kuzipiga na bondia Patrick Amote wa Kenya.
Mabondia hao katika pozi la kuzipiga wakati wa mazoezi ya leo.
Mabondia wa hapa nchini Thomas Mashali na Francis Miyeyusho leo wamefanya mazoezi ya pamoja katika gym iliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wanajiandaa kuwakabili wenzao kutoka Kenya ambao ni Patrick Amote na Shadrack Muchenje kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Julai 7 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2013

    Kumbe gym za mana zipo huko bongo iweje mabondia wengine huwa wanaoneshwa hapa wakijifua aidha ktk kumbi za kata za CCM au maskani tu,Tena mabondia wenye sifa kubwa tu ktk medani huko bongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...