E83A0580 Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) manispaa ya Singida, Hassan Mazala akizungumza juzi kwenye halfa ya uzinduzi wa hotel ya ya Chemuchemu park na shina la wakereketwa wa CCM wa hoteli hiyo mpya.
E83A0552
Mfanyabiashara maarufu mjini Singida, Mushi Kimboka (aliyweshika maiki) akitoa taarifa yake kwa mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala(aliyevaa miwani) juu ya ujenzi wake wa hotel ya Chemuchemu Park iliyoko katika kijiji cha Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.
E83A0584
Mkurugenzi mtendaji wa hotel ya kitalii ya Stanley Motel, Eward Malya maarufu kwa jina la Hali Ngumu akitoa nasaha zake kwenye hafla ya uzinduzi wa hotel ya Chemuchemu park iliyopo kijiji cha Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.Hali Ngumu amewataka wafanyabiashara kufanya biashara halali kwa bidii na kisha wabane matumizi kwa madai kuwa 'hali ni ngumu'.
E83A0553
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida,Hassan Mazala akizindua rasmi hotel ya Chemuchemu Park iliyopo katika kijiji cha Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.
E83A0563
Wanachama wapya wa CCM baada ya kukabidhiwa kadi juzi na mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa Hassan Mazala (hayupo kwenye picha).
E83A0542
Kikundi cha burudani cha kijiji cha Manguanjuki kikitoa burudani wakati wa uzinduzi wa shina la wakereketwa wa CCM katika hotel ya Chemuchemu park.
E83A0555
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida,Hassan Mazala (wa tano kushoto mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa hotel ya Chemuchemu park iliypo kijiji cha Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2013

    Edward Malya ni marauding kwa jina la "MALIYATABU".Nawapongeza Nambari One kwa kuvuna Wanachama Lukuki

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...