Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku mbili ulio wakutanisha wadau wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/ AIDS, leo kwenye ukumbi Wa Nssf Waterfront Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia akielezea changamoto wakati wa mkutano wa siku mbili ulio wakutanisha wadau wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/ AIDS, leo kwenye ukumbi Wa Nssf Waterfront Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/ AIDS, Dr Ellen M konya Senkoro akielezea mafanikio ya Taasisi hiyo.
Wadau mbalimbali wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/ AIDS wakiwa kwenye mkutano huo.
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda,Rais Mstaafu, Mh. Benjamin Mkapa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia akiwa kwenye picha yapamoja na wajumbe wa Bodi ya wadhamini ya (BMAF)mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo.
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda,Rais Mstaafu, Mh. Benjamin Mkapa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia wakiwa kwenye picha ya pamoja na wadhamini (BMAF)mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...