Msajili wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) Herman Von Hebel akiweka sahihi kenye kitabu cha wageni katika Ubalozi wa Tanzania mjini Brussels kabla ya kuanza mazungumzo na Dr. Diodorus Buberwa Kamala, Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya. Mazungumzo yamefanyika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania, Brussels.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...