UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Denmark (SCF Project)  watauza  Magari & Ofisi furniture kwa mnada wa hadhara  tarehe 28 June, 2013 Arusha - Blue plaza building ,ghorofa ya 2 mkabala na Fastjet mtaa wa India, saa 5 asubuhi.  Na Mwanza mnada utafanyika tarehe 29 /06/2013 NSSF building  ghorofa ya kwanza Wing D barabara ya Kenyatta saa 5 asubuhi.

GARI NA FANICHA ZITAKAZOUZWA  ARUSHA:
Office desk/Chairs, Chest drawers, Cupboard, Sign Board, File cabinet, Book shelves, Laptop, Computer set, Printer, Na vingine vingi.

Idadi
Aina
Model
Mwaka
Ushuru
1
Toyota Prado GX
5L-E Diesel
2008
Haujalipwa

GARI NA FANICHA ZITAKAZOUZWA  MWANZA:
Office desk/Chairs, Chest drawers, Cupboard, Sign Board, File cabinet,
Book helves,Refrigerator,  Laptop, Computer set, Printer, A/c split units nk.

Idadi
Aina
Model
Mwaka
Ushuru
1
Toyota Prado GX
5L  Diesel
2008
Haujalipwa
Mali zote zinaweza kukaguliwa Arusha na Mwanza,  tarehe 27 mpaka 28 June,  2013 kuanzia saa 4.00. asubuhi mpaka saa 10.00 jioni.

MASHARTI YA MNADA:
  1. Mnunuzi  wa fanicha atatakiwa kulipa malipo yote pale pale. Na mnunuzi wa gari atatakiwa kulipa 25% pale pale na salio lilipwe ndani ya siku 14, ukishindwa kulipa kwa muda huu gari litauzwa tena na dhamana haitarudishwa.
  2. Mali zote zitauzwa kama zilivyo.
  3. Mnunuzi atawajibika kulipa ushuru.
  4. Mali yote iliyouzwa itatakiwa kuondolewa siku hiyo hiyo  baada ya kulipia malipo yote pamoja na ushuru.
  5. Kwa maelezo zaidi waone:UNIVERSAL AUCTION CENTRE, NKRUMAH STREET MKABALA NA CO-CABS SIMU NA: 2128027 ; 0754-284 926  DAR ES SALAAM


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2013

    bongo kila kitu magumashi, unaweka number za simu mobile haipatikani , landline inaitaa tuu haipokelewi. weka hata picha ili toone gari yenyewe

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2013

    Mdau wa Kwanza wewe upo Majuu?

    Kila kitu ni Kazi hapa Bongo Tambarale, kila kitu ni lazima uweke cha juu, kupiga simu pia ni kazi ya ziada hadi uwafikie wahusika wa Mnada.

    Hujui Bongo kula kwa Tindo?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2013

    Mtoa Maoni wa kwanza:

    Bongo huwezi kula ama kupata vitu kiurahisi unatakiwa mfunge mikanda ya suruali zenu ili muweze kula na sio kuvaa Kata-K, ama sivyo mtalala na njaa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...