Mtaalamu wa mazingira wa ofisi ya bonde la maji la Pangani ,Mhandisi Arafa Maggidi akiwa na mtaalamu wa vipimo kutoka kituo cha utafiti wa kuondoa Frolide cha Ngurdoto Godfrey Mkongo wakiangalia maji yanayodaiwa kuwa na kemikali yakiingia mto Karanga .
Mtaalamu wa mazingira wa ofisi ya bonde la maji la Pangani ,Mhandisi Arafa Maggidi akiwa na mtaalamu wa vipimo kutoka kituo cha utafiti wa kuondoa Frolide cha Ngurdoto Godfrey Mkongo wakichukua sampuli ya maji ya Mto Karanga kwa ajili ya vipimo.
Mwananfunzi wa chuo cha maabara ya sayansi,ufundi na teknolojia Arusha Stephew Msalale akichukua maji ya mto Karanga kama sampuli kwa ajili ya vipimo.
Mtaalamu wa mazingira wa ofisi ya bonde la maji la Pangani ,Mhandisi Arafa Maggidi akiwa na mtaalamu wa vipimo kutoka kituo cha utafiti wa kuondoa Frolide cha Ngurdoto Godfrey Mkongo wakichukua sampuli ya maji ya Mto Karanga kwa ajili ya vipimo.

Na Dixon Busagaga waglobu ya jamii Moshi

KUFUATIA kutolewa kwa taarifa za kutiririshwa kwa maji yanayodaiwa kuchanganyika na kemikali kutoka kwa baadhi ya viwanda vilivyoko kando ya mto Karanga ofisi ya Bonde la Pangani(PBWO) imelazimika kuchukua sampuli ya maji hayo kwa ajili ya kuyafanyia vipimo.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya taarifa za kichunguzi zilizofanywa na Globu ya jamii baada ya kuwezeshwa na na mfuko wa waandishi wa habari(TMF) na kuripoti jinsi wakazi wa vijiji vya Chekeereni,Weruweru,Mijongweni na Kiyungi walivyo athirika na maji hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2013

    Unakwenda field na buti hizo!

    Kwanza ajifunze kuvaa nguo za field na sio buti na soksi. Ajaribu kutafuta gumboots.

    Ningekuwa mimi mwalimu ningemkata maksi kwa hilo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...