Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akiwasili katika eneo la Bandari ya Dar es Salaam tayari kwa kuzindua rasmi upokeaji wa shehena ya mabomba yatakayotumika katika ujenzi wa mradi wa kusafirisha Gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda katika akibadilishana jambo na Waziri wa Nishati na Madini Prosefa Sospeter Muhongo aliyekaa kushoto,Kulia ni Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Lu Youging wakati wa hafla ya kuzindua kupokea shehena ya mabomba kwa ajili ya mradi wa kusafirisha Gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akishuhudia Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Balozi Lu Youging akifunua kitambaa kama ishara ya uzinduzi rasmi wa upokeaji wa mabomba ya Gesi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2013

    Hata kwa bomba la peni, hahahaahhah.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...