Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wanahabari wa Mkoa wa Kagera ambao amewapongeza kwa kazi nzuri waliyofanya wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani humo. Hapa ni katika uwanja wa Kaitaba mara baada ya kuhutubia umati mkubwa wa wananchi katika kuhitimisha ziara hiyo
Rais Kikwete akiwapongeza wanahabari wa Kagera kwa kazi nzuri
Akisalimiana na mkongwe Meddy Mulisa wa Daily News
Hongera kwa kazi nzuri dada...
Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na wanahabari hao
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...