Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akitazama asali wakti alipotembela Banda la Halmashauri ya Wilaya Mbulu  kabla ya kufungua kongomano la  Kwanza la  Uwekezaji katika mkoa wa Manyara  mjini Babati leo 
 Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akitazama asali wakti alipotembela Banda la Halmashauri ya Wilaya Mbulu  kabla ya kufungua kongomano la  Kwanza la  Uwekezaji katika mkoa wa Manyara  mjini Babati  leo. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr, Mary Nagu na Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Erasto Mbwilo
 Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda  akitazama  mbolea  wakati alipotembelea  banda la kiwanda cha Mbolea cha Minjingu  kabla ya kufungua Kongamano  la Kwanza  la Uwekezaji  katika  Mkoa wa  Manyara mjini Babati leo. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara, Erasto Mbwilo.
 Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akizungumza na wanachama wa    kikundi cha ushonaji  Ufukuba  katika banda la kikundi hicho  kabla ya kufngua  Kongamano la  Kwanza la Uwekezaji katika mkoa wa  Manyara  mjini babati leo

Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akifungua Kongamano la Kwanza la Uwekezaji  katika Mkoa wa Manyara mjini Babati leo
Baadhi ya  washiriki wa  Kongamano la Kwanza la  Uwekezaji  katika Mkoa wa Manyara  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda wakati alipofungua   kongamano hilo mjini Babati 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...