Mkurugenzi wa Mipango wa Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo ya Sera za Uhamiaji Bi. Chantal Lacroix akimweleza Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala maandalizi ya Mkutano wa Kimataifa wa ushirikishaji wa sekta binafsi katika masuala ya Uhamiaji utakaofanyika Arusha tarehe 18 na 19, Septemba 2013. Mazungumzo yamefanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya, Brussels leo.
Home
Unlabelled
Mkurugenzi wa Mipango wa Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo ya Sera za Uhamiaji atembelea Balozi Dr. Kamala ofisini kwake Brussels
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...