Mkurugenzi wa Mipango wa Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo ya Sera za Uhamiaji Bi. Chantal Lacroix akimweleza Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala maandalizi ya Mkutano wa Kimataifa wa ushirikishaji wa sekta binafsi katika masuala ya Uhamiaji  utakaofanyika Arusha tarehe 18 na 19, Septemba 2013. Mazungumzo yamefanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya, Brussels leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...