Home
Unlabelled
news alert: mtoto wa kike aokotwa upanga jijini dar es salaam leo, amehifadhiwa kituo kidogo cha polisi cha salender
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mungu asaidie jamani,katoto kazuri sana,sipati picha mamake Huko alipo.
ReplyDeleteankal Michuzi,
ReplyDeletekama ndugu na wazazi wa mtoto hawakujitokeza basi unitafute mie mdogo wako,mtoto ajipatie mwanzo wa kwenda xull ya chekechekea au darasa la mwanzo,si mila zetu kuwaacha watoto wa ki-tanzania mitaani bila ya wazazi kuwatafuta.
Mikidadi-Denmark
Kwanini mtoto mwenye umri mdogo kama huo apelekwe kituo cha polisi, wizara ya ustawi wa jamii na watoto iko wapi? au kama tulivyo zoea raisi [Jk] anatakiwa amchukue/aingilie?ningeomba wizara ya watoto ifutwe na wafanyakazi wafutwe kazi kwani kazi yao inafanywa na polisi,ambao wanatakiwa kulinda usalama wa watu nakukamata wahalifu siyo kulea watoto lini tutaendelea mr Kikwete?
ReplyDeleteWewe unayetaka mtoto wa kumpeleka xull ya chekechea; nenda pale faya Dar-es-salaam utakuta watoto wamelala kando kando ya barabara hawana wenyewe. Chukua mmoja mpeleke xull.
ReplyDeleteKAKA KAMA HUYU MTOTO NDUGU HAWATAPATIKANA NAKUOMBA TUWASILIANE NIMPLEKE UK AKAJILIPUE APATE MAISHA MAPYA.MDAU LONDON
ReplyDeletepolisi ni mahali pa usalama(usalama wa raia)kumbuka pako wazi masaa 24,tofauti na ustawi wa jamii,baada ya hapo polisi ndio wanapaswa wamjulishe afisa ustawi wa jamii,(sidhani kwamba huwa wanafanya hivyo)lakini pa kuanzia ni polisi.Si kwamba amefanya kosa,la hasha ni kwa usalama tu,msiwaogope sana polisi jamani pamoja na kupewa ruksa ya kupiga na mtoto wa mkulima.
ReplyDeletetatizo la wizara iliyo na jukumu kwa watoto hawa haina kiongozi mwenye utashi hata kidogo! Anaendeleza USWAHILI TU pale!
ReplyDeleteCha ajabu anabebwa tu !
Kwa nini na hao wa fire wasichukuliwe wapelekwe ustawi wa jamii????
ReplyDeleteAsante sana Ankal kwa kutoa habari na picha humu imesaidia wazazi wa huyu mtoto kupatikana,na nyote mlomuombea asanteni sana kwani alichukuliwa jana usiku na Manka Yuko salama sasa na wazazi wake.
ReplyDeleteCarol Magessa
wa fire wapo pale at their parent's accord.
ReplyDeleteSuch a beautiful Angel.... ALLAH amjaalie aungane na wazazi wake ...Anka tujulishe akishapatwa na wazazi wake tafadhal
ReplyDelete