Mmbando  akitoa ufafanuzi juu ya mshindi  huyo alivyopatikana kabla ya  kumkabidhi hati yake  ya nyumba  leo
 Ofisa mahusiano wa Airtel Bw Jackson Mmbando  akionyesha  hati ya  nyumba 
 Mshindi  wa  nyumba ya  Airtel yatosha  akisoma hati ya nyumba  yake aliyoshinda  baada ya  kukabidhiwa  leo

 Mshindi  wa  nyumba ya Airtel Yatosha  akionyesha  hati yake ya  nyumba aliyokabidhiwa  leo,huku akiwa na  wafanyakazi  wenzake  waliofika  kushuhudia 


Ofisa mahusiano wa Airtel Bw  Jackson Mmbando akimkabidhi mke  wa mshindi  wa  nyumba ya Airtel yatosha Bw  Sylivanus Juma Wanga Bi Veronica Wanga huku kushoto mume wake ambae ni mshindi akishuhudia mshindi  huyo ni mhasibu  wa taasisi isiyo ya kiserikali ya TARWOC inayojihusisha na mapambano dhidi ya ukatili  wa kijinsia mkoa wa Iringa ,wengine pichani ni wafanyakazi  wenzake waliofika kushuhudia  hafla  hiyo  iliyofanyika Hotel ya M.R mjini Iringa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...