Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii  (NSSF) yashinda tuzo ya mfuko bora katika maonyesho ya nanenane yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma katika viwanja vya Nzuguni, kushoto (mbele) ni Hafidh Y A, Chuga A, Kirondera N (Meneja wa Mkoa wa Dodoma) na Mpogole M, Kushoto (nyuma) Safina K na Amani M wakiwakilisha Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii Mjini Dodoma.
Timu ya NSSF waliowakilisha Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii katika maonyesho ya kitaifa ya Nanenane yaliyofanyika mkoani Dodoma, katikati ni Meneja wa mkoa (Kirondera N) akiwa ameshikilia kikombe baada ya kukabidhiwa na mratibu wa maonyesho hayo.
Picha ya hati na kikombe cha mshindi wa kwanza wa maonyesho ya Nanenane ya Kitaifa mkoani Dodoma
Meneja wa NSSF mkoa wa Dodoma ,Bw. Kirondera akishikilia kikombe na hati aliyokabidhiwa baada ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii kuwa mshindi wa kwanza katika maonyesho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...