IMG_3637
Kushoto Hellena Nyerere akiwa mama Kimolo mwenyekiti wa UWT-DMV , mdau na Julia Nyerere katika Picnic ya wana DMV iliyofanyika huko Wheaton Md mwishoni mwa juma. IMG_3624
Kushoto mwenyekiti wa CCM DMV Bw.George Sebo akifuatiwa na Mama Kimolo na Katibu wa CCM-DMV Bw.Yakub Kinyemi. IMG_3659
Makamu rais wa jumuiya ya Watanzania DMV Bw.Raymond akijipongeza. IMG_3663
Bi.Grace Sebo mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM DMV na dada Asha Hariz wa kundi la Tano Ladies wakijaza mapendekezo yao ya marekebisho ya katiba 
 IMG_3641
Fomu ya marekebisho ya katiba kwa upande wa Marekani ilivyo. IMG_3613Mfugo ulikuwa wa kutosha. IMG_3618
Bi.Grace Sebo akiwa na Elinita Mhando Shomari mtoto Rose Shomari. IMG_3651
Brigedia General Maganga mwmbata wa kijeshi Washington Dc akiwa na Abbas akifuatiwa na Emanuel Muganda na Fella.Kwa picha zaidi ungana na sundayshomari.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...