Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (katikati), akipongezana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Godfrey Simbeye baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta binafsi uliokuwa ukijadili mapendekezo ya rasimu ya sera ya Taifa ya Maendeleo ya Sekta Binafsi jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa TPSF, Bw. Aloyce Mwamanga.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (katikati), akisisitiza jambo wakati wa kufungua mkutano wa wadau wa sekta binafsi uliokuwa ukijadili mapendekezo ya rasimu ya sera ya Taifa ya Maendeleo ya Sekta Binafsi jana jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Godfrey Simbeye (kulia) na Kaimu Mwenyekiti wa TPSF, Bw. Aloyce Mwamanga (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...