Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Mhe.Deodorus Kamala(,mwenye suti) akitoa maelezo kwa Naibu Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai ambae ameongoza ujumbe wa Wabunge wawili na watumishi nchini Ubelgiji kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa wabunge toka nchi za Afrika,Carribbean na Pacific. Wengine pichani ni Mbunge wa Viti Maalum Dr Mary Mwanjelwa na Katibu wa Msafara huo Bw.Aggrey Nzowa ambae pia ni Mkurugenzi Msaidizi (Huduma za Maktaba) katika Ofisi ya Bunge.
Mhe Mussa Azzan Zungu (kulia) akifuatilia kwa makini maelezo ya Balozi Kamala. Picha na Saidi Yakubu wa Ofisi ya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hayo maviti!

    ReplyDelete
  2. Kama ya nyumbani. Hivi budget ya Ubalozi inaruhusu kununua vitu vya gharama nama hiyo. Juzi nimeenda katika ofisi za wilaya pale Magomeni kwa kweli zie ambazo ziko katika bwalo kubwa lile halifai kabisa. Nimewasikia maofisa wakilalamika mazingira wanayofanyia kazi ni mavumbi tokea ardhini, kuta milango hewa hamna kabisa. Juu bat. Halafu ubalozi utafikiri wa nchi ya Marekani what a contrast.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...