Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Chuo cha Ushoni cha wajasiri amali wa Kibweni kilichoanzishwa na Jumuiya ya Vijana wa Kibweni { Kibweni Yourth Organization - KYO } katika Mtaa wa Kwa Botoro Kibweni Jimbo la Bububu.
Balozi Seif akiangalia mmoja miongoni mwa wafanuzi wa chuo cha ushoni cha ujasiri amali kiliopo Kwa Botoro Kibweni mara baada ya kukizindua rasmi chuo hicho.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akimkabidhi vyarahani Vitano Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa Kibweni Kassim Ali ikiwa mchango wake kusaidia nguvu za nutendji Jumuiya hiyo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi mzima wa Jumuiya Vijana ya Kibweni pamoja na wadau wao mara baada wa uzinduzi wa chuo cha Jumuiya hiyo cha Ushoni cha ujasiri amali kiliopo kwa Botoro Kibweni.
Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...