Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA), Mhe. Jaji Ferdinand Wambali aliwasilisha mada katika mafunzo ya kazi kuboresha huduma ya utoaji haki nchini,yalifanyika leo kwenye Ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Hilux mjini Morogoro.
Baadhi ya Makarani wakiwa katika mafunzo ya kazi kuboresha huduma ya utoaji haki nchini,yalifanyika leo kwenye Ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Hilux mjini Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...