Balozi wa Sierra Leone Ubelgiji Mhe. Ibrahim Sorie akizungumza na Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi za bendera ya taifa). Balozi Sorie alifika kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji kushauriana na Balozi Kamala kuhusu masuala mbalimbali ya Kidiplomasia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tazama nguo yake ilivyompendeza. Anajivunia utamaduni wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...