Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo, Prof. Costa Mahalu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kozi mpya ya kuwanoa watetezi wa haki za binadamu katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki inayojulikana kwa jina la ‘Akiba Uhaki’, iliyofanyika Kawe Beach jijini Dar es Salaam juzi. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila, Mkuu wa kitivo cha Sheria cha Chuo hicho, Dk. Natujwa Mvungi na Mratibu wa Programu ya taasisi ya Akiba Uhaki, Kepta Ombati.
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila ambaye alikuwa mgeni rasmi akizungumza katika hafla uzinduzi wa kozi mpya ya watetezi wa haki za binadamu katika nchi za Afrika Mashariki.
 Baadhi ya wadau wakiwa katika hafla hiyo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...