NA Ibrahim Kamwe 'Big Right' |
Home
Unlabelled
HOJA YA HAJA - MABONDIA NA UNGA: TUNAPONZWA NA NJAA ZETU ZA MAISHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
NA Ibrahim Kamwe 'Big Right' |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huu ni mchezo wa wasio akili.Kwanza fikiria katika dunia hii huu ni mchezo unapoingia jukwaani una nia ya kumdhuru unayecheza naye. You want to cause him damage deliberately.Kisha wapewa taji la maua, na wenye faida ni wale wanaovaa suti na kukuangalia wewe ubongo wako wakorogwa.This "game" should be banned,its primitive. But it wont because there are those clever ones who have powerful lawyers and use them like "milch cows".
ReplyDeleteMdau Ibrahi Kamwe 'Big Right',
ReplyDeleteUmenena ya kweli kabisa kuwa Tasnia ya Ndondi nchini inabebwa na wale waliopitia maisha ya kupinda!, haishangazi pia tukiangalia Kimataifa kama kule Marekani tunaona alikotokea Mike Tyson ni ktk mazingira a Kimaisha uliyoyasema hapo, hata tukija kwa Miamba wengine wa Magumi haya kutokea Mexico na Cuba wengi wamepitia maisha ya Misoto nafikiri ukiunganisha na Suala la ''Mipango ya Unga'' vinaendana kabisa!!!
yaa hii full adventure yaani, mtoto wa geti hajui hii
ReplyDeletehii ni kweli tupu,,,maana hao wapiganaji ngumi,hata sura zao,,Upanga masaki na kote huko uzunguni hazipo.Ni sura za kijambazi jambazi ambazo hazina hata hata aibu nyuso zao.
ReplyDeleteNi kweli kabisa tangu lini wewe mwanadamu ukata kummaliza kabisa binadamu mwenziwe bila hata ya kukufanyia kosa,kisa uvalishwe mkanda na vijisent kidogo...
Kweli mchezo wa kinyama huwo
Ahlam London
Mwandishi umenigusa sana na habari ulivyoiandika, yaani nimekua ktk mazingira hayohayo na nimesoma na kufanya biashara hizo hizo za visheti,vitumbua,samaki,karanga ila namshukuru mungu sasa nipo scandinavia nafanya specialization ktk medicine nina mengi ya kuhadithia baadae ili kupeana matumaini,wakati mwengine naweza kusema nimeponea ktk tundu la sindano, vinginevyo hali ingekua mbaya.Kwa kifupi mimi natokea kwa mtogole ebu pata picha mwenyewe.
ReplyDeleteKwa wengine kama mimi ni hobby. Kupigana is so natural mpaka wanyama wanapigana, hujawahi kuona simba au chui wanacheza mpira. This is a natural sport. Ni kweli most of the time is fight for survival and katika umasikini wetu people take advantage. Michezo yote bongo sio deal mwishoni unaishia masikini. Natoa salaams kwa mabondia wooote Tanzania, I wish I can do something for the sport
ReplyDeleteni ukweli kabisaa kaka yangu maandishi uliyoandika hapo juu. Wadogo zangu walijitahidi kuingia katika hiyo tasnia, wakashindwa, matoke yake walienda kupaa samaki huko feri. Leo hii wanamiliki hata nyumba na magari, sisi pia tumetokea tandaleee kwa mtogele!
ReplyDelete