Kwa jina la kisanii anajulikana kama Allan Kingdom , kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 19 tu, aitwaye kwa jina halisi Allan Kyariga ambaye hivi sasa amepamba moto nchini Marekani baada ya kutoa video ya wimbo ‘Mediocre’ ambao unaongelewa kila mahali Nasi hatutaki wadau mpitwe na na habari ya huyu msanii i mpya wa Kitanzania ambaye anaelekea kufanya makubwa ughaibuni. Hapo chini ni baadhi tu ya media links zinazoongelea kipaji chake. 

Artist: Allan Kingdom

Song: "Mediocre"
Producer: Allan Kingdom
EP: Talk To Strangers
Director: Francisco Bibiloni






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...