Mhe. Patrick Willemot Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Zinga Metal akimkabidhi zawadi Dr. Diodorus Buberwa Kamala balozi wa Tanzania Ubelgiji baada ya kutembelea Kampuni hiyo. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kutangaza fursa za uwekezaji Tanzania kwa Makampuni ya Kibelgiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...