Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ,Mastidia Rutaihwa baada ya kumkabidhi moja ya boksi la dawa na vifa vilivyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati wa Uzinduzi rasmi wa Huduma za Tiba kutoka kwa Madaktari Bingwa kwa wanachama wa NHIF katika jamii ya Mkoa wa Pwani uzinduzi huo ulizihusisha wilaya zote tata za Rufiji, Mafia na Bagamoyo.Katikati anaye shuhudia ni Mjumbe wa Bodi ya NHIF Charles Kajege.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwatumu Mahiza akiteta jambo na Madaktari Bingwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya baada ya kuzindua zoezi la kutoa Huduma za Tiba kutoka kwa Madaktari Bingwa kwa wanachama wa mfuko wa NHIF. Uzinduzi huo ulifanyika katika Wilaya ya Bagamoyo kwa niaba ya wilaya za Rufia na Mafia
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akihutubia wananchi wa Wilaya ya Bagamoyo wakati wa Uzinduzi rasmi wa zoezi la kutoa Huduma za Tiba Kutoka kwa Madaktari Bingwa kwa Wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa Jamii ya Mkoa wa Pwani, wa pili kutoka kushoto ni mjumbe wa Bodi ya NHIF Charles Kajege,Mkurugenzi Rasmaili Watu na Utawala Beatus Chijumba na Meneja Mkuu wa NHIF mkoa wa Pwani Andrew Mwilunga.
Mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Charles Kajege akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza moja ya boksi lenye vifaa na Dawa wakati wa Uzinduzi rasmi wa zoezi la Huduma za Tiba kutoka kwa Madaktari Bingwa wa NHIF, kwa wanachama wa mfuko huo na jamii ya Mkoa wa Pwani .Uzinduzi huo ulifanyika katikaWilaya ya Bagamoyo kwa niaba ya wilaya za Mafia na Rufiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...