Gari lililobeba mwenge wa uhuru likiwasili katika viwanja vya makabidhiano katika kata ya Mang'oto wilayani Makete mapema leo asubuhi
Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe akisoma ripoti inayoonesha idadi na gharama za miradi ya maendeleo iliyozinduliwa na mwenge huo wilayani mwake kabla ya kuukabidhi kwa mkuu wa wilaya ya Makete
Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe(kushoto) akimkabidhi mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro mwenge wa uhuru
Mkuu wa wilaya ya makete Josephine Matiro akila kiapo cha kuupokea mwenge huo ukiwa salama
Wakipongezana baada ya makabidhiano
Sehemu ya wananchi wa mang'otowaliofika kushuhudia mapokezi ya mwenge wa uhuru ndani ya wilaya ya Makete(PICHA ZOTE NA EDWIN MOSHI, MAKETE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...