Gari lililobeba mwenge wa uhuru likiwasili katika viwanja vya makabidhiano katika kata ya Mang'oto wilayani Makete mapema leo asubuhi
 Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe akisoma ripoti inayoonesha idadi na gharama za miradi ya maendeleo iliyozinduliwa na mwenge huo wilayani mwake kabla ya kuukabidhi kwa mkuu wa wilaya ya Makete
 Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe(kushoto) akimkabidhi mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro mwenge wa uhuru
 Mkuu wa wilaya ya makete Josephine Matiro akila kiapo cha kuupokea mwenge huo ukiwa salama
 Wakipongezana baada ya makabidhiano
Sehemu ya wananchi wa mang'otowaliofika kushuhudia mapokezi ya mwenge wa uhuru ndani ya wilaya ya Makete(PICHA ZOTE NA EDWIN MOSHI, MAKETE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...