Afisa wa Ubalozi wa Tanzania Lusaka Zambia Bw. Jeswald Majuva (kulia) akiangalia Baadhi ya bidhaa Za wajisiriamali zinazoonyeshwa kwenye maonyesho ya LUSAKA yaliyoandaliwa kwa pamoja kati ya kikundi cha Handproducts of Tanzania na Ubalozi wa Tanzania jijini Lusaka, Zambia
Baadhi ya bidhaa Za Tanzania zinazoonyeshwa nchini Zambia
Baadhi ya wajisiriamali wa Tanzania walioshiriki maonyesho yaliyoandaliwa Kati ya kikundi cha Handproducts of Tanzania na Ubalozi wa Tanzania Lusaka Zambia
Baadhi ya bidhaa Za wajisiriamali zinazoonyeshwa kwenye maonyesho yanayofanyika kwenye Ubalozi wa Tanzania jijini Lusaka, Zambia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...