Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania, Dkt. Aloyce Nzuki, ambaye ni katibu wa mradi wa TANAREAP akitoa maelezo kuhusiana na mradi huo katika tafrija fupi ya uzinduzi wa filamu za kutoa elimu pamoja na kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania.
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Mradi wa TANAREAP, katibu wa mradi huo Dkt Aloyce K. Nzuki akizinduwa rasmi filamu za mafuzo na kuvitanga nza vivutio vya Utalii vya Tanzania.
Mratibu wa Mradi wa TANAREAP, ndugu Kentano Noda akitoa ufafanuzi wa filamu mpya kwa wageni waliyohudhuria tafrija ya uzinduzi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa , jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa maana kila mtanzania akisafiri nje ya nchi atapewa ili akatangaze vivutio huko aendako?
    Maana hii habari haijitoshelezi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...