Muasisi wa Mfuko wa Elimu ya Bonnah Trust Fund,Bi. Bonnah Kaluwa ambaye pia ni Diwani wa kata ya Kipawa,jijini Dar es Salaam akizungumza machache wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi rasmi wa Mfuko wa Kuhamasisha elimu ya Tanzania ili isonge mbele uitwao Bonnah Trust Fund,uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
Mgeni Rasmi katika Hafla hiyo ya Uzinduzi rasmi wa Mfuko wa Kuhamasisha elimu ya Tanzania ili isonge mbele uitwao Bonnah Trust Fund,Meya wa Ilala,Mh. Jerry Silaa akisisitiza jambo muda mfupi kabla ya kuzindua Mfuko huo,mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kutoka Kushoto ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Makongoro Mahanga,Meneja wa Huduma kwa Jamii kutoka kampuni ya Tigo,Bi Woinde Shisael,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mh. Mushi,Muasisi wa Mfuko wa Elimu ya Bonnah Trust Fund,Bi. Bonnah Kaluwa pamoja na Mgeni Rasmi kwenye hafla hiyo,Meya wa Ilala,Mh. Jerry Silaa wakifurahia jambo mara baada ya kufanyika kwa Uzinduzi Rasmi wa Mfuko wa Bonnah Trust Fund,mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...